.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 28 Februari 2014

RAIS VICTOR YANUKOVYCH ALIYEONDOLEWA MADARAKANI AZUNGUMZA KWA MARA YA KWANZA AKIWA URUSI

                 Rais wa Ukraine aliyeondolewa madarakani Victor Yanukovych

Rais wa Ukraine aliyepinduliwa Victor Yanukovych amezungumza kwa mara ya kwanza akiwa nchini Urusi alikopewa hifadhi na kuomba radhi kwa wananchi wa nchi yake huku akisema alishambuliwa na kufukuzwa. Rais huyo katika hotuba yake amesema ataipigania nchi yake hadi mwisho.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni