.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Machi 2014

HAIJAPATA KUTOKEA,NYOKA AMKAMATA MAMBA AMTOA ZIWANI NA KUMMEZA

 Picha ikimuonyesha nyoka akiwa amemmiliki mamba katika ziwa Moondarra. Nyoka huyu amekuwa gumzo sehemu mbalimbali duniani kutokana na kuchukua uamuzi huo wa kujitosa ziwani na kumkamata mamba na kumgeuza chakula chake, kwani pia mamba wanafahamika kwa ukali wao hasa wanapokuwa katika maji
                  Nyoka akiwa amemvuta mamba nje ya maji baada ya kumuua
                                                 Hapa akimmeza baada ya kumlainisha

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni