Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry akipanda ndege mjini Kiev kuelekea Paris Ufaransa kwenye mazungumzo na Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavror kuhusu mgogoro ulipamba moto nchini Ukraine.Marekani imekuwa ikiishutumu Urusi kwa kupeleka majeshi yake Ukraine, huku Urusi nayo ikisema ina wajibu wa kulinda maslahi yake na watu wote wanaozungumzi Kirusi waliopo Crimea
Meli ya kivita ya Urusi ikiwa katika pwani ya Crimea
Wananchi wa Ukraine wakiwa wanafuatilia habari za mgogoro wa nchi yao katika Tv kubwa iliyopo Independence Square



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni