.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 2 Machi 2014

MAAFA CHINA, ABIRIA WALIOKUWA WAKISUBIRI USAFIRI WA TRENI WAVAMIWA,ABIRIA 29 WAUAWA HUKU WENGINE 149 WAKIJERUHIWA KWA VISU

 Watu waliokuwa na visu, wamewavamia na kuwaua abiria 29 na kuwajeruhi wengine 149 katika kituo kimoja cha treni kusini magharibi mwa mji wa kunming katika jimbo la Yunnan. Wavamizi hao kwa mujibu wa kamera zilizofungwa katika kituo hicho cha terni ni wanawake, ambapo mmoja alipigwa risasi na polisi na kufa papo hapo, mwingine kujeruhiwa huku wengine wakifanikiwa kutoroka
                  Baadhi ya miili ya abiria waliofariki katika shambulio hilo
                                              Majeruhi akifarijiwa hospitali
                     Ulinzi ukiimarishwa baada ya kutokea kwa shambulio hilo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni