.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Machi 2014

MAKAMU MWENYEKITI CCM BARA PHILIP MANGULA AWASILI IRINGA

1
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Iringa Vijijini Mama Delfina Mtavilalu mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Iringa ambapo alipokelewa na baadhi ya viongozi wa mkoa huo na kuelekea moja kwa moja ofisini ambapo alifanya mazungumzo mafupi 1aAkizungumza na waandishi wa habari huku akionyesha moja ya gazeti lililowahi kuripoti kampeni hizo kwa picha Philip Mangula amelaani kampeni alizodai zinadhalilisha watoto zinazofanywa na CHADEMA huku akionyesha mmoja wa watoto ambaye alipigwa picha huku akionyesha sare zake za shule ambazo zimechakaa na kuchanika na mmoja wa wapiga debe wa chama hicho  akisema kutangaza umasikini wa mtu ni kumdhalilisha  2
Philip Mangula akiingia katika ofisi za mkoa wa Iringa huku akiwa ameongozana na Katibu wa Mkoa wa Iringa Bw. Hassan Mtenga na viongozi wengine. 
5
Mwandishi wa habari wa ITV Bw. Silvanus Kigomba akiuliza swali kwa Mzee Philip Mangula wakati wa mkutano huo. 6 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni