.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Machi 2014

PHARELL WILLIAMS AKONGA NYOYO TUZO ZA OSCAR NA WIMBO WAKE HAPPY

Mwanamuziki Pharrell Williams aliweza kukonga nyoyo katika sherehe za tuzo za Oscars wakati wa ufunguzi akiimba kibao chake kikali cha Happy, huku akicheza na muigizaji filamu Lupita Nyong'o, Meryl Streep na Amy Adams.

Mwanamuziki huyo kama kawaida yake alikuwa amevaa kofia yake kubwa ambayo imekuwa ni kitambulisho cha muonekano wake marufu, tangu aivae kofia aina hiyo mara ya kwanza kwenye tuzo za Grammys na kuzua gumzo.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni