.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Machi 2014

URUSI YAZIDI KUJIIMARISHA KIJESHI CRIMEA LICHA YA KUTAKIWA KUONDOKA

Nchi ya Urusi imeongeza kujiimarisha kushikilia kwa nguvu mkoa wa Crimea, kinyume na sheria za kimataifa licha ya shinikizo la kuitaka iondoe vikosi vyake.

Maelfu ya vikosi vya jeshi la Urusi wanashikilia mkoa huo, huku vifaru na meli zaidi za nchi hiyo zikipelekwa.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni