Mapambano ya silaha yameibuka kwenye
kambi kuu ya jeshi iliyopo katika Mjii Mkuu wa nchi ya Sudan Kusini,
ambapo mapigano ya mwaka jana yalipelekea machafuko maeneo mengi.
Mwili wa mwanajeshi wa serikali
umekutwa kwenye barabara nje ya kambi hiyo huko Juba. Mashahidi
wameeleza watu katika eneo hilo wamekimbia kuokoa maisha yao.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni