.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 8 Machi 2014

MPENZI WA ZAMANI WA PISTORIUS AELEZEA JINSI ASIVYOWEZA KUDHIBITI HASIRA ZAKE

Mpenzi wa zamani wa Oscar Pistorius ameiambia mahakama kuwa mwanariadha huyo mlemavu aliwahi kufyatua risasi kwenye paa la gari lake baada ya kuudhiwa na polisi aliyemsimamisha barabarani.

Mpenzi huyo wa zamani wa Pistorius, aitwae Samatha Taylor aliangua kilio pale alipoanza kuelezea kilichopelekea watengane na mwanariadha huyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni