.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 8 Machi 2014

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA MALAYSIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA ABIRIA 239

 Ndege ya shirika la ndege la Malaysia Boeing 777 iliyokuwa na abiria 239 imepoteza mawasiliano ikiwa inatokea Kuala Lumpar Malaysia kuelekea Beijing China. Abiria waliokuwa ndani ya ndege hiyo ni kutoka Marekani, Australia, Ufaransa na China. Hakuna taarifa zaidi ya kupoteza mawasiliano kwa ndege hiyo kwamba imeanguka au la, na uchunguzi zaidi unaendelea
 Mmoja wa jamaa aliyefika uwanjani hapo akisoma tangazo la kutua na kupaa kwa ndege
Ndugu waliokuwa wanawasubiri jamaa zao waliosafiri na ndege hiyo wakilia baada ya kusikia tangazo kuwa hakuna mawasiliano kati ya uwanjani hapo na ndege hiyo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni