.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 4 Machi 2014

MWANAMUZIKI 50 CENT ASEMA WANAMUZIKI WENZAKE DIDDY NA RICK ROSS MASHOGA

 Mwanamuziki mahiri nchini Marekani 50 Cent ameandika katika mtandao wa kijamii wa Instagram siku ya jumapili kuwa wanamuziki Diddy " Sean Combs " na Rick Ross " William Leonard Roberts II" ni mashoga huku akiweka na picha ikiwaonyesha wanamuziki hao wakiwa wamekumbatiana. Hata hivyo muda mfupi baadaye 50 Cent aliandika tena hana hakika na hilo alisemalo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni