.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 4 Machi 2014

DE ROSSI AFUNGIWA KWA KUMPIGA NGUMI MAURO ICARDI

Kiungo wa Roma na timu ya taifa ya Italia Daniele De Rossi amefungiwa kucheza mechi tatu za Ligi ya Serie A kwa kosa la kumpiga ngumi mchezaji mwenzake siku ya jumamosi.

De Rossi alikwaruzana na mchezaji wa Inter Milan Mauro Icardi wakati wakigombea mpira katika mchezo ambao uliisha kwa sare ya bao 1-1.

Kitendo hicho hakikuonwa na refa, hata hivyo uongozi wa ligi ulifikia maamuzi hayo baada ya kuangalia marudio ya tukio hilo kwenye TV.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni