.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 4 Machi 2014

UTAFITI WABAINI HASIRA HUCHANGIA TATIZO LA SHAMBULIO LA MOYO

Watafiti wa masuala ya afya wamebaini kitendo cha mtu kuwa na hasira mno kinamhatarisha kupatwa na tatizo la shambulio la moyo.

Watafitia hao wa Marekani wamesema hasira huchochea tatizo la shambulio la moyo, ambalo limekuwa likisababisha vifo.

Watafiti hao wameainisha kuwa mtu huweza kupata shambulio la moyo ndani ya muda wa saa mbili tangu kupandwa na hasira.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni