.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 6 Machi 2014

NEYMAR AONYESHA UKARIMU KWA MTOTO ALIYEVAMIA UWANJA NCHINI AFRIKA KUSINI

 Licha ya Brazil kutokuwa na huruma kwa timu ya taifa ya Afrika Kusini kuipa kichapo cha mabao 5-0, Neymar ameonyesha ukarimu kwa mtoto mmoja wa shabiki soka aliyevamia uwanjani na kumzuia asisombwe na walinzi wa uwanja.
 Mtoto huyo alinusuriwa na Neymar na kupata fursa ya kupiga picha naye na baadae kunyanyuliwa juu na wachezaji kadhaa wa Brazil, na baadae alibebwa na Neymar hadi nje ya uwanja huku mtoto huyo akiwa amejawa na furasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni