.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 2 Machi 2014

POLISI JIJINI NAIROBI WAUA MAJAMBAZI SITA KWA KUWAPIGA RISASI

Watu sita wanaodaiwa kuwa ni wahalifu wameuwawa kwa kupigwa risasi Jijini Nairobi nchini Kenya ndani ya muda wa saa 12.

Watano miongoni mwao wamepigwa risasi Express Kenya Limited eneo la viwanda huku wa sita akipigwa risasi huko Ngara ambapo bastola feki ilipatikana.

Watuhumiwa hao wakiwa na silaha pamoja bastola feki waliuwawa na polisi baada ya kudaiwa kukaidi amri ya polisi na kutaka kupambana nao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni