Rais Yoweri Museveni amewaagiza walinzi
wa mpaka uliopo kwenye Mbuga ya Taifa ya Kidepo Kaskazini Mashariki
mwa Uganda kuwapiga risasi wawindaji haramu wanyamapori watakaokutwa
na silaha.
Rais Museveni ametoa agizo hilo baada
ya kuambiwa wawindaji haramu kutoka Sudani Kusini, na Turkana Kenya
wamekuwa wakiingia mguga hiyo na kuwauwa wanyamapori, kuharibu mimea
na wakati mwingine kuuawa watu.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni