.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 2 Machi 2014

KOCHA WA NEW CASTLE UNITED ALAN PARDEW APIGWA FAINI YA PAUNDI 100,000

Meneja wa Newcastle United Alan Pardew amepigwa faini ya paundi 100,000 na kupewa onyo kutokana na kitendo chake cha kumpiga kichwa kiungo wa Hull City, David Meyler.

Kocha Pardew alipandwa na hasiri wakati timu yake ikiwa tayari nyuma kwa mabao 3-1, na ndipo alipomvaa Meyler kutokana na kujaribu kumuharakisha kurusha mpira wa adhabu ili asipoteze muda. 
 David Meyer akicharuka baada ya kupigwa kichwa na kocha Alan Pardew
David Meyer akimshoonyeshe kidole Pardew, nikama anasema nitakufanyizia mimi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni