.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 2 Machi 2014

URUSI YAMTUNISHIA KIFUA RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI

Rais Barack Obama wa Marekani amemuambia rais Vladimir Putin wa Urusi amevunja sheria za kimataifa kwa kutuma vikosi vya nchi yake nchini Ukraine.

Katika mazungumzo yao ya simu yaliyodumu kwa dakika 90, Rais Obama amemsihi Putin kuondoa vikosi vyake huko Crimea.

Imeelezwa kuwa Putin alimjibu Obama kuwa Urusi inahaki ya kulinda maslahi yake pamoja na wananchi wanaozungumza Kirusi wanaoishia Ukraine.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni