Mpaka sasa watu 11 wameripotiwa kufariki kufuatia shambulizi la mtu mmoja kufyatua risasi katika mahakama moja katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad. Katika shambulio hilo, kati ya watu waliouawa ni jaji mmoja na baadhi ya mawakili ambao idadi yao bado haijajulikana. Pia watu wengine 24 wamejeruhiwa
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni