.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Machi 2014

LUPITA NYONG'O AIENDELEA KUTAMBA, ATWAA TUZO YA OSCAR ZILZIOFANYIKA JANA

Muigizaji Filamu Mkenya Lupita Amondi Nyong'o ameweka historia kwa kushinda tuzo ya Oscar katika kipengele cha muigizaji msaidizi wa kwa uhusika wake kwenye filamu ya 12 Years A Slave.

Katika Tuzo hizo za 86 zilizofanyika Los Angeles Lupita amemshinda Jennifer Lawrence ambaye alikuwa anawania tuzo hiyo kwa uhusika wake kwenye filamu ya American Hustle
                                          Lupita akipongezwa Angelina Jolie
                   Lupita akiwa na sura ya furaha huku akipongezwa na Brad Pitt
 Angelina Jolie akimkumbatia mume wake Brad Pitt katika tuzo hizo za Oscar
                                      Cate Blanchet akiwa na tuzo yake
                   Lupita akicheza muziki na mwanamuziki Pharrell Williams

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni