.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Machi 2014

LIGI KUU UINGEREZA, TOTTENHAM YAICHAPA CARDIFF1-0

 Mchezaji Soldado jana aliisaidia timu yake ya Tottenham kujiweka pazuri katika  msimamo wa ligi kuu Uingereza baada ya kuitumia vyema pasi ya Adebayo na kuukwamisha mpira wavuni na kuipa ushindi wa bao 1-0 timu yake ya Tottenham dhidi ya Cardiff. Kwa ushindi huo, Tottenham ipo nafasi ya 5 wakiwa point 53, huku vinara wa ligi hiyo wakiwa ni Chelsea wenye pointi 63, nafasi ya pili wapo Liverpool wakiwa na pointi 59

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni