Wananchi wa Jimbo la Kibaha Vijijini wakimsikiliza kwa Makini,Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi,Ndg. Abdulrahman Kinana.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Mh. Mwantumu Mahiza akiwasalimu wananchi wa Kibaha Vijijini.Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Mh. Mwantumu Mahiza akishangiliwa na kinamama wenzake wa Kibaha Vijijini. Sehemu ya Pikipiki na Baiskeli zilizotolewa leo.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani,Ndg. Mwinshehe Shaban Mlawa wakisikiliza jambo kwa umakini kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kibaha Vijijini,Ndg. Hamis Nassor




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni