.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Machi 2014

NSSF ILIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2014

Wanachama na wadau mbalimbali wa NSSF wakiwa medali zao baada ya kumaliza mbio za Kilimanjaro Marathon 2014 zilizofanyika Moshi, mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori.
Washiriki wa mbio za kilometa 21 za Kilimanjaro Marathon 2014 wakimaliza mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori
Wanachama na wadau wa NSSF wakirurahia zawadi zao pamoja na wafanyakazi wa Shirika hilo, wa pili kulia ni Crescentius Magori.
                                                        Baadhi ya washiriki wa mbio hizo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni