.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 11 Aprili 2014

BARAZA LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA KUPELEKA ASKARI 12,000 HUKO CAR

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepiga kura ya kutuma kikosi imara cha askari 12,000 katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR).

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Ban Ki-moon ameonya kuwa wanaoondesha vitendo vya mauji ya kidini pamoja na ukatili wa kingono hawataachwa bila ya kuhukumiwa.

Umoja wa Mataifa pia umeridhia vikosi 2,000 vya wanajeshi wa Ufaransa kufanya kazi pamoja na vikosi vya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati. 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni