.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 11 Aprili 2014

MAREKANI YAISHUTUMU URUSI KUTUMIA GESI KAMA KIGEZO CHA KUTAKA KUUNGWA MKONO

Marekani imeishutumu Urusi kwa kutumia gesi kama kigezo cha kuibana Ukraine na nchi nyingine ili ziweze kutii maamuzi yake.

Kauli hiyo ya Marekani imekuja baada ya Urusi kuzionya nchi za Ulaya kuwa itazikatia huduma ya gesi kutokana na deni la nchi ya Ukraine.

Katika hatua nyingine vikosi vya Nato vimetetea picha za uhakika za setelaiti zinazoonyesha vikosi vya Urusi vikikusanyika kwa wingi kwenye mpaka wa Ukraine katika wiki za hivi karibuni.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni