.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Aprili 2014

BOMU ARUSHA NIGHT PARK, POLISI YATANGAZA ZAWADI NONO KWA MWANANCHI ATAKAYEWAFICHUA WAHALIFU

 Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Isaya Mungulu akiongea na waandishi wa habari mkoani Arusha kufuatia tukio la bomu katika baa ya Arusha Night Park lililotokea jumapili iliyopita na kujeruhi watu 15. 

Kulia kwake ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha. Mpaka sasa hakuna mtu yeyeote aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo, na jeshi la polisi limetangaza zawadi nono kwa mwananchi atakayefanikisha taarifa zozote zitakazowezesha kukamatwa kwa watuhumiwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni