Vijana wa Mreno Jose Mourinho hii leo wameibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu Uingereza dhidi ya wenyeji wao Swansea ambao walijikuta wanamaliza mchezo wakiwa 10 uwanjani baada ya Chico Flores kupewa kadi nyekundu
Wachezaji wa mataraji wa London,Chelsea wakimpongeza Demba Ba aliyefunga bao hilo muhimu kwa Chelsea na kufikisha pointi 75, pointi mbili nyuma ya Liverpool ambayo leo imefikisha pointi 77 baada ya kuifunga Manchester City mabao 3-2
Mwamuzi wa mchezo baina ya Swansea na Chelsea akimuonyesha kadi nyekundu mchezaji wa Swansea Chico Flores kwa mchezo mbaya
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni