Mshambuliaji mahiri wa Manchester United, Wyne Rooney akiwa amembeba mtoto wake Klay mwenye miezi 11, huku mkewe Coleen akiwa amemshika mkono mtoto wao mwingine Kai mwenye umri wa miaka 3 wakikatiza mitaa.
Rooney alitumia mwanya huo kuungana na familia yake baada ya kusogezwa mbele kwa mchezo wao na Hull City
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni