Rais Vladimir Putin wa Urusi ameonya
kuwa Ukraine ipo katika hatua ya kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa
wenyewe, baada ya Kiev kutuma vikosi vyake kudhibiti wananchi
wanayoiunga mkono Urusi.
Rais Putin amempigia simu Kansela wa
Ujerumani Angela Merkel, na kumueleza kuwa hatua hiyo kuwa itachochea
haraka machafuko katika nchi ya Ukraine.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni