.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 21 Aprili 2014

HUKU VIFO VIKIFIKIA 64 NA 238 WAKIWA BADO HAWAJAONEKANA KUFUATIA KUZAMA KWA KIVUKO HUKO KOREA KUSINI, RAIS WA TAIFA HILO ATOA TAMKO

 Rais wa Korea Kusini Park Guen-Hye amesema kuwa wote waliohusika na uzembe katika kivuko kilichozama jumatano iliyopita kikiwa na watu 470 lazima wachukuliwe hatua kali za kisheria
Mpaka sasa miili ya watu 64 imepatikana kufuatia ajali hiyo huku wengine 238 bado hawajaonekana, hali inayozidisha huzuni na hasira kwa ndugu na jamaa ambao wanasema zoezi la uokoaji linafanywa polepole sana. 

Kiongozi huyo wa Taifa la Korea Kusini amesema kuwa vitendo vya wafanyakazi wa kivuko hicho kutotoa msaada wa haraka kwa abiria hakivumiliki na watachukuliwa hatua kali

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni