Mwana dada anayetamba katika luninga na kipindi chake cha Keeping Up With The Kardashian's, Kim Kardashian akikatiza mitaa katika jiji la Miami huku akiwa anaendesha baiskel.
Kim mwenye miaka 33, alionekana asubuhi ya jumanne akiendesha baiskeli ikiwa ni sehemu ya mazoezi, siku chache kuelekea harusi yake na mwanamuziki Kanye West ambayo imepangwa kufanyika May 24 jijini Paris nchini Ufaransa
Aaah!! Walau sasa najisikia mwepesi, kumbe kuendesha baiskeli ni zoezi tosha


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni