.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Aprili 2014

ZOEZI LA KUOKOA KIVUKO KILICHOZAMA NA WATU 470 KOREA KUSINI KUANZA


            Mmoja wa walionusurika katika ajali hiyo akipatiwa huduma ya kwanza
Zoezi kubwa la uokoaji baada ya kivuko kilichokuwa na watu 470 kuzama Korea Kusini, lipo mbioni kuanza

Watu wawili wamekufa katika tukio hilo wengine zaidi ya 180 wameokolewa huku watu zaidi ya 100 hawajulikani walipo tangu kutokea ajali hiyo.

Wengi wa watu waliokuwa kwenye kivuko hicho ni wanafunzi, walikuwa wanatoka bandari ya Magharibi ya Incheon, kuelekea kisiwa cha Kusini cha Jeju.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni