.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Aprili 2014

SERIKALI YA KENYA YAWAPONDA MABALOZI WALIOTOA TUHUMA ZA RUSHWA

Serikali ya Kenya imekanusha tuhuma za rushwa zilizotolewa wiki iliyopita na mabalozi 18 wa nchi za nje waliopo nchini humo kwa kusema kuwa hazina msingi wowote.

Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara ya Kimataifa Karanja Kibicho, amesema mabalozi hao walikuwa wanatafuta umaarufu wa bei chee kwa kutumia vitu vya kutungwa na uchochezi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni