Ukienda kutembea Kilimanjro iwe Rombo au Marangu ni lazima ukaribishwe mbege, kinywaji hiki ni maarufu sana mkoani humo na kuwavutia hata wasio wenyeji wa Kilimanjaro.
Raha ya mbege uinywe ikiwa kwenye kata kama mdau huyu anavyoonekana.
Twanga picha mzee kabla hatujaanza kukata kiu.
Mdau akijipimia taratiiibu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni