.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 14 Aprili 2014

KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA HII LEO

 Mwenyekiti wa Kamati namba sita wa Bunge Maalum la Katiba Stephen Wassira akiwasilisha maoni ya Kamati yake leo mjini Dodoma kwenye kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo
Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwenye kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo mjini Dodoma hhi leo


Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Tundu Lissu akiwasilisha maoni ya wachache katika kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo mjini Dodoma

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni