Ligi kuu nchini Uingereza itaendelea kutimua vumbi kesho jumamosi katika viwanja sita tofauti, huku waliowatibulia Manchester City katika harakati zao za kuusaka ubingwa na kulazimisha sare ya mabao 2-2, timu ya soka ya Sunderland wao wakishuka dimbani ugenini kucheza na matajiri wa Londoni Chelsea ambayo inaifukuzia kwa kasi Liverpool ambayo inaongoza ligi hiyo.Michezo ya kesho jumamosi:-
- Tottenham vs Fulham
- Aston Villa vs Southampton
- Cardiff vs Stoke
- Newcastle vs Swansea
- West Ham vs Crystal Palace
- Chelsea vs Sunderland
Michezo ya Jumapili ya Pasaka:-
- Norwich vs Liverpool
- Hull vs Arsenal
- Everton vs Man Utd
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni