.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 12 Aprili 2014

LIGI KUU YA UINGEREZA, NEWCASTLE YALALA MBELE YA STOKE CITY

 Mlinda mlango wa Newcastle United, Krul akiruka bila mafanikio kuokoa mpira uliotinga katika nyavu zake na kuifanya Stoke City kuandika bao ambalo lilidumu hadi kipyenga cha mwisho. Kwa matokeo hayo Stoke City imeweza kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani
Mchezaji wa Stoke, Erik Pieters akiruka juu kwa furaha baada ya kuipatia timu yake bao kunako dakika ya 42 ya mchezo huo uliochezwa leo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni