.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 14 Aprili 2014

LORI LAANGUKIA GARI DOGO LEO ASUBUHI ENEO LA MAKONGO

Lori likiwa limeangukia gari dogo aina ya Toyota Cresta GX 100 katika barabara ya Bagamoyo eneo la Makongo karibu na daraja la Shoko mapema leo asubuhi. 

Katika ajali hiyo hakuna watu waliopoteza maisha, ila waliokuwa katika gari hilo dogo walijeruhiwa na kukimbizwa hospitali kwa matibabu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni