.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 14 Aprili 2014

HALI ILIVYOKUWA JANA RUVU DARAJANI

 Foleni ya magari ilivyokuwa jana asubuhi maeneo ya Ruvu darajani baada ya maji ya mvua kujaa na kupita juu ya daraja hilo hivyo kusababisha magari kupita kwa tabu kabla ya kuzuiwa kwa muda
                    Maji yakiwa yamejaa pembeni ya barabara ya mlandizi - chalinze
 Sehemu yenye shimo ikionyesha maji yakizunguka na kisha kuingia chini na kupita upande wa pili wa barabara eneo la Ruvu darajani
 Wananchi wakiwa hawana la kufanya baada ya kushuka katika magari yao baada ya kuzuiwa kwa muda kupita katika daraja la Ruvu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni