Timu inayotafuta
ndege ya shirika la ndege la Malaysia inatarajia kuanza kutumia
nyambizi kwa mara ya kwanza katika kuitafuta ndege hiyo iliyopotea
tangu Machi 8, mwaka huu ikiwa na abiria 239.
Mkuu wa timu hiyo
Angus Houston, amesema nyambizi hiyo inayojiongoza yenyewe itatumwa
chini ya kina cha bahari ili kutafuta mabaki ya ndege hiyo kwenye
sakafu ya bahari.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni