.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 13 Aprili 2014

MITINDO YA NYWELE YA NAOMI CAMPBELL NA LUPITA NYONG'O YAWA GUMZO LOS ANGELES

                                                  Lupita Nyong'o akiwa kwenye pozi

Mwanamitindo Mkongwe Naomi Campbell pamoja na muigizaji filamu anayechipukia Lupita Nyong'o wamekuwa kivutia katika usiku wa tuzo za GLAAD Media huko Los Angeles, nchini Marekani.

Katika hafla hiyo iliyofanyika Jumamosi Naomi alitinga nywele za mtindo wa afro, huku Lupita alionekana katika mtindo wa nywele uliokuwa ukitumiwa na Grace Jones, ambao kwa juu hukatwa na kuonekana kama kibakuli.
Naomi Campbell akipozi kupiga picha juu ya zulia jekundu 
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni