.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 13 Aprili 2014

MOTO MKUBWA WA MSITUNI WATEKETEZA NYUMBA 150 NCHINI CHILE

Moto mkubwa wa msituni umeteketeza karibu nyumba 150 katika bandari ya Valparaiso nchini Chile.

Maelfu ya watu wamehamishwa kutoka mji huo ili kuwanusuru na miale ya moto ambayo imekuwa ikichochewa na upepo mkali unaotokea eneo la ukanda wa Pacific.

Rais Michelle Bachelet ameliagiza jeshi kuingia kazini kuongoza uhamishaji watu na kutangaza eneo la mji huo uliopo kilomita 110 Magharibi mwa Santiago kuwa ni la maafa.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni