Naibu waziri wa Kazi wa Afghanistan Ahmad Shah Walid ametekwa katika mji wa Kabul akiwa njiani anaelekea kazini mapema leo.
Watu wanne waliokuwa na silaha walifyetua risasi kuelekea katika gari alilokuwa waziri huyo, kisha kumchukua na kutokomea nae huku dereva wake akijeruhiwa katika tukio hilo.
Vyombo vya usalama vimesema vimelichukulia tukio hilo kama uhalifu na wamekwepa kulihusisha na kundi la Taliban
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni