.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 11 Aprili 2014

NUSU FAINALI YA EUROPA, SEVILLA USO KWA USO NA VALENCIA, BENFICA MIKONONI MWA JUVENTUS

 Ratiba ya nusu fainali ya michuano ya Europa League imetolewa leo kwa Sevilla ya Hispania kukutana na ndugu zao Valencia pia ya Hispania, na mchezo wa kwanza utachezwa alhamisi ya tarehe 24 mwezi huu wa nne
Yenyewe Benfica ya Ureno imeangukia mikononi mwa Juventus ya Italia katika hatua hiyo ya nusu fainali ya nusu fainali ya kombe la Europa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni