.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 11 Aprili 2014

RAIS BARACK OBAMA AZUIA UPEPO ULIOKUWA UKITAKA KUIPEPERUSHA SKETI YA MKEWE MICHELLE

Rais Barack Obama ameonyesha uwezo wake wa kumjali mkewe baada ya kuudhibiti upepo mkali uliokuwa ukinyanyua sketi yake wakati wakikwea kwenye ndege yake ya Air Force One.

Obama alikuwa akipanda ndege yake hiyo huko Houston, wakati ambapo sketi ya Michelle ilipoanza kupeperushwa na upepo mkali na kuamua kuikinga kwa mikono yake ili kutomuabisha.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni