Wachezaji wa Real Madrid wakiwa katika gari kubwa la wazi wakikatiza mitaa katika jiji la Madrid baada ya kuutwaa ubingwa wa kombe la Mfalme " Copa Del Rey " usiku wa kuamkia leo, baada ya kuifunga Fc Barcelona mabao 2-1 katika mchezo wa fainali
Maelfu ya mashabiki wa Madrid walijitokeza na kujipanga mitaani kuilaki timu yao ilipowasili katika jiji hilo na kombe mkononi leo asubuhi
Mashabiki wa Real Madrid wakiwa na furaha ya timu yao kuinyamazisha Barcelona na kutwaa ubingwa Copa Del Rey
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni