.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 11 Aprili 2014

SAMSUNG WAZINDUA SIMU YAO MPYA YA GALAXY S5 JIJINI DAR ES SALAAM

Kampuni ya Kimataifa inayotengeneza simu za Samsung Galaxy leo imezindua duniani kote simu yake mpya Galaxy S5 uzinduzi ambao nchini Tanzania umefanyika Jijini Dar es Salaam na kufana.

Simu hiyo ya Galaxy S5 inatarajiwa kupokelewa kwa wingi na wateja wa kampuni hiyo ya Korea Kusini, kutokana kuwa ni moja ya simu bora za aina ya smartphones iliyopo sokoni kwa sasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni