.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 11 Aprili 2014

NUSU FAINALI UEFA CHELSEA KUIVAA ATLETICO MADRID, REAL MADRID NA BAYERN MUNICH


Timu ya Chelsea wamepangwa na Atletico Madrid katika nusu fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya huku Real Madrid wakikutanishwa na mabingwa watetezi wa kombe hilo Bayern Munich ya Ujerumani.

Chelsea inapambana kutinga fainali za ligi hiyo ndani ya misimu saba, itakuwa wageni wa kikosi kocha Vicente Calderon katika mchezo wao wa kwanza utakaochezwa Aprili 22, na kurudiana tena baada ya siku nane baadae.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni