Tabu ya Dar es Salaam kila mmoja ana haraka.
Magari haya yakiwa yamefunga kabisa barabara katika makutano ya Afrika Sana, baada ya madereva kila mmoja kuonyesha ana haraka na kushindwa kupeana muda wa kupita, mwishowe wote walijikuta wanaishia hapo baada ya kukosa pa kupita.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni