Jumamosi, 19 Aprili 2014
UMOJA WA MATAIFA WAITAKA SERIKALI YA SUDAN KUSINI KUIMARISHA USALAMA
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) limesema shambulio lililoua watu 58 katika kambi ya UN, Sudan Kusini ambako maelfu ya watu wamepatiwa hifadhi linaweza kuchukuliwa kama uhalifu wa kivita.
Ukielezea hisia zake kuhusina na shambulio hilo la jana Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Sudan Kusini kuimarisha jitihada za usalama ili kuhakikisha tukio hilo la kushambulia raia halijirudii tena.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni